Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:14 - Swahili Revised Union Version

14 Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Fuatana nami, ukaone wivu wangu kwa BWANA. Wakampandisha garini mwake.


Naye akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.


Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Akamwambia, Mwanangu, wewe u pamoja nami sikuzote, na vyote nilivyo navyo ni vyako.


Abrahamu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo yako mema katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unateseka.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya watu wote, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


La hasha! Mungu aonekane kuwa kweli japo kila mtu ni mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulikane kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo