Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 19:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ikawa Yesu alipomaliza maneno hayo, akatoka Galilaya akafika katika eneo la Yudea, ng'ambo ya Yordani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda Yudea, ngambo ya mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda Yudea, ngambo ya mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda Yudea, ng'ambo ya mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Isa alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Yudea, ng’ambo ya Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Isa alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ng’ambo ya Mto Yordani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ikawa Yesu alipomaliza maneno hayo, akatoka Galilaya akafika katika eneo la Yudea, ng'ambo ya Yordani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, majusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Akaenda zake tena ng'ambo ya Yordani, mpaka mahali pale alipokuwapo Yohana akibatiza hapo kwanza, akakaa huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo