Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:5 - Swahili Revised Union Version

5 Na yeyote atakayempokea mtoto mmoja mfano wa huyu kwa jina langu, anipokea mimi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Yeyote anayempokea mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Na yeyote atakayempokea mtoto mmoja mfano wa huyu kwa jina langu, anipokea mimi;

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, yeyote ajinyenyekezaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.


bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari.


Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


Naye atawajibu, akisema, Amin, nawaambia, Kadiri msivyomtendea mmojawapo wa hao walio wadogo, hamkunitendea mimi.


kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.


Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma.


Kwa kuwa yeyote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.


akawaambia, Yeyote atakayempokea mtoto huyu kwa jina langu anipokea mimi; na yeyote atakayenipokea mimi ampokea yeye aliyenituma. Kwa kuwa aliye mdogo miongoni mwenu nyote huyo ndiye mkubwa.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeaye mtu yeyote nimtumaye, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi; ampokea yeye aliyenituma.


na jaribu lililowapata katika mwili wangu hamkulidharau wala kulikataa, bali mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo