Mathayo 16:25 - Swahili Revised Union Version25 Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona. Tazama sura |