Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na jina lake Mataifa watalitumainia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na jina lake Mataifa watalitumainia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa makabila ya watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.


Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.


Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu; akamponya, hata yule bubu akanena na kuona.


ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo