Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 11:30 - Swahili Revised Union Version

30 kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!


Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Basi sasa mbona mnamjaribu Mungu na kuweka kongwa juu ya shingo za wanafunzi, ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba.


Kwa maana ilimpendeza Roho Mtakatifu na sisi, tusiwatwike mzigo ila hayo yaliyo lazima,


Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana;


Katika uhuru huo Kristo alituweka huru; kwa hiyo simameni, wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa.


Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.


Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo