Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 11:26 - Swahili Revised Union Version

26 Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.


Saa ile ile alishangilia katika Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.


akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; lakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. [


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.


Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Baba, ulitukuze jina lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.


Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


akiisha kutujulisha siri ya mapenzi yake, kulingana na radhi yake aliyoikusudia katika yeye huyo.


kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo