Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 8:23 - Swahili Revised Union Version

23 Kwa maana nakuona uko katika uchungu kama nyongo, na tena uko katika kifungo cha uovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Kwa maana nakuona uko katika uchungu kama nyongo, na tena uko katika kifungo cha uovu.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:23
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hata hivyo chakula chake matumboni mwake kinabadilika, Kimekuwa ni nyongo za majoka ndani yake.


Ee BWANA, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.


Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?


Njia yako na matendo yako yamekupatia haya; huu ndio uovu wako; kwa maana ni uchungu, hakika unafikia hata moyo wako.


Basi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitawalisha pakanga, naam, watu hawa, nami nitawapa maji yenye sumu wayanywe.


Kumbuka mateso yangu, na msiba wangu, Pakanga na nyongo.


Amejenga boma juu yangu, Na kunizungusha uchungu na uchovu.


Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.


wakiwaahidia uhuru, nao wenyewe ni watumwa wa uharibifu, maana mtu akishindwa na mtu huwa mtumwa wa mtu yule.


Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo