Matendo 7:37 - Swahili Revised Union Version37 Musa huyo ndiye aliyewaambia Waisraeli, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: ‘Mungu atawateulieni nabii kama mimi miongoni mwa ndugu zenu nyinyi wenyewe.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: ‘Mungu atawateulieni nabii kama mimi miongoni mwa ndugu zenu nyinyi wenyewe.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: ‘Mungu atawateulieni nabii kama mimi miongoni mwa ndugu zenu nyinyi wenyewe.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 “Huyu ndiye yule Musa aliyewaambia Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 “Huyu ndiye yule Musa aliyewaambia Waisraeli, ‘Mwenyezi Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI37 Musa huyo ndiye aliyewaambia Waisraeli, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye. Tazama sura |