Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:24 - Swahili Revised Union Version

24 Akamwona mmoja akidhulumiwa, akamtetea, akamlipizia kisasi yule aliyekuwa akionewa, akampiga huyo Mmisri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kwa kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kwa kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kwa kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri. (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Akamwona mmoja akidhulumiwa, akamtetea, akamlipizia kisasi yule aliyekuwa akionewa, akampiga huyo Mmisri.

Tazama sura Nakili




Matendo 7:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake.


Basi akatazama huku na huko, na alipoona ya kuwa hapakuwapo mtu, akampiga na kumwua Mmisri yule, akamfukia mchangani.


Umri wake ulipokuwa kama miaka arubaini akaazimu moyoni mwake kwenda kuwatazama ndugu zake Waisraeli.


Alidhani kwamba ndugu zake watafahamu ya kuwa Mungu anawapa wokovu kwa mkono wake, lakini hawakufahamu.


Je! Wataka kuniua mimi kama ulivyomwua yule Mmisri jana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo