Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 5:6 - Swahili Revised Union Version

6 Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakampeleka nje kumzika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakamchukua nje kumzika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakamtwaa Absalomu wakamtupa katika shimo kubwa mle msituni, wakaweka juu yake rundo kubwa sana la mawe; kisha Israeli wote wakakimbia kila mtu hemani mwake.


Basi wakautwaa mwili wake Yesu, wakaufunga sanda ya kitani pamoja na yale manukato, kama ilivyo desturi ya Wayahudi katika kuzika.


Hata muda wa saa tatu baadaye mkewe akaingia, naye hana habari ya hayo yaliyotokea.


mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo