Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 5:18 - Swahili Revised Union Version

18 wakawakamata mitume wakawaweka ndani ya gereza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakawakamata mitume na kuwafunga gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 wakawakamata mitume wakawaweka ndani ya gereza;

Tazama sura Nakili




Matendo 5:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakuu wakamkasirikia Yeremia, wakampiga, wakamtia gerezani katika nyumba ya Yonathani, mwandishi; kwa maana ndiyo waliyoifanya kuwa gereza.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Lakini, kabla hayo yote hayajatokea, watawakamata na kuwaudhi; watawapeleka mbele ya masinagogi, na kuwaua magerezani, mkipelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.


Wakawakamata, wakawaweka gerezani hadi asubuhi; kwa kuwa imekwisha kuwa jioni.


Sauli akaliharibu kanisa, akiingia kila nyumba, na kuwaburuta wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.


Wao ni wahudumu wa Kristo? (Nanena kiwazimu), mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi.


wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani;


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo