Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 5:11 - Swahili Revised Union Version

11 Hofu nyingi ikalipata kanisa lote na watu wote walioyasikia haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hofu kubwa ikalikumba kanisa lote na wote waliosikia habari za tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hofu kubwa ikalikumba kanisa lote na wote waliosikia habari za tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hofu kubwa ikalikumba kanisa lote na wote waliosikia habari za tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hofu kuu ikalipata kundi la waumini wa Isa lote, pamoja na watu wote waliosikia kuhusu matukio haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hofu kuu ikawapata waumini wote pamoja na watu wote waliosikia juu ya matukio haya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Hofu kubwa ikalipata kanisa lote na watu wote walioyasikia haya.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu, Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.


nami nitafanya agano la milele pamoja nao, kwamba sitageuka wala kuwaacha, ili niwatendee mema; nami nitatia kicho changu mioyoni mwao, ili wasiniache.


Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wagiriki waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa.


Kila mtu akaingiwa na hofu; ajabu nyingi na ishara zikafanywa na mitume.


Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya.


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Basi, wapendwa wangu, kama vile mlivyotii sikuzote, si wakati mimi nilipokuwapo tu, bali sasa zaidi sana mimi nisipokuwapo, utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka.


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.


Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa, na muwe na neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho;


Basi, ikiwa ingalipo ahadi ya kuingia katika pumziko lake, na tuogope, mmoja wenu asije akaonekana ameikosa.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo