Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:28 - Swahili Revised Union Version

28 ili wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Naam, walikutana ili wafanye mambo yale uliyokusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Naam, walikutana ili wafanye mambo yale uliyokusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Naam, walikutana ili wafanye mambo yale uliyokusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wakafanya yale uweza wako na mapenzi yako yalikusudia yatokee tangu zamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wao wakafanya yale ambayo uweza wako na mapenzi yako yalikuwa yamekusudia yatokee tangu zamani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 ili wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:28
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa taifa kubwa, kama ilivyo leo.


Hekima na amri zina yeye [Mungu]; Yeye anayo ushauri na fahamu.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


BWANA wa majeshi ameapa, akisema, Hakika yangu kama vile vilivyoazimia, ndivyo itakavyokuwa; na kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyotokea;


Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.


Je! Hukusikia? Ni mimi niliyeyatenda hayo tokea zamani, na kuyafanya tokea siku za kale; nikayatimiza sasa, iwe kazi yako kuangamiza miji yenye boma, ibomoke na kuwa rundo la magofu.


Ni nani aliyemwongoza Roho ya BWANA, na kumfundisha kwa kuwa mshauri wake?


nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.


Wasema, Na afanye haraka, aihimize kazi yake, tupate kuiona; na likaribie shauri lake aliye Mtakatifu wa Israeli, tupate kuliona.


Lakini BWANA aliridhika kumchubua; Amemhuzunisha; Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi, Na mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake;


Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu yule kama asingalizaliwa.


Yatatimizwaje basi maandiko, ya kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kujiri?


Kwa kuwa Mwana wa Adamu aenda zake kama ilivyokusudiwa; lakini, ole wake mtu yule amsalitiye!


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


Katika neno hilo Mungu, akitaka kuwaonesha zaidi sana warithio ile ahadi, jinsi mashauri yake yasivyoweza kubadilika, alitia kiapo katikati;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo