Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:18 - Swahili Revised Union Version

18 Wakawaita, wakawaamuru wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kisha wakawaita tena ndani na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha kamwe kwa hili jina la Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kisha wakawaita tena ndani na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha kamwe kwa hili jina la Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Wakawaita, wakawaamuru wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hao wakunga walikuwa wacha Mungu, hawakufanya kama walivyoamriwa na huyo mfalme wa Misri, lakini wakawahifadhi hai wale watoto wa kiume.


lakini usitabiri tena huku Betheli; kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme, nayo ni nyumba ya kifalme.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya Uzima huu.


akisema, Je! Hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili? Nanyi, tazameni, mmeijaza Yerusalemu mafundisho yenu, na mnataka kuileta damu ya mtu yule juu yetu.


Wakakubali maneno yake; nao walipowaita mitume, wakawapiga, wakawaamuru wasinene kwa jina lake Yesu; kisha wakawaacha waende zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo