Matendo 28:18 - Swahili Revised Union Version18 Na hao walipokwisha kunihoji walitaka kunifungua, kwa maana hapakuwa na sababu yoyote kwangu ya kuuawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo. Tazama sura |