Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 27:32 - Swahili Revised Union Version

32 Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Tazama sura Nakili




Matendo 27:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.


Akasokota kikoto cha kamba, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng'ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao;


Paulo akawaambia ofisa na askari, Hawa wasipokaa ndani ya merikebu hamtaweza kuokoka.


Na kulipokuwa kukipambazuka Paulo akawasihi wote wale chakula, akisema, Leo ni siku ya kumi na nne kungoja na kufunga, hamkula kitu chochote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo