Matendo 27:32 - Swahili Revised Union Version32 Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke. Tazama sura |