Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 27:19 - Swahili Revised Union Version

19 Siku ya tatu wakatupa vyombo vya merikebu kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Siku ya tatu, wakatupa vyombo vya meli baharini kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Siku ya tatu, wakatupa vyombo vya meli baharini kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Siku ya tatu wakatupa vyombo vya merikebu kwa mikono yao wenyewe.

Tazama sura Nakili




Matendo 27:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;


Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza uzito wake. Lakini Yona alikuwa ameshuka hadi pande za ndani za merikebu; akajilaza, akapata usingizi.


Na kwa maana tulikuwa tukipigwa sana na ile tufani, kesho yake wakaanza kuitupa shehena baharini.


Jua wala nyota hazikuonekana kwa muda wa siku nyingi, na tufani kuu ikatushika, basi tukakata tamaa ya kuokoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo