Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 24:11 - Swahili Revised Union Version

11 Maana waweza kujua ya kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu ili kuabudu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Unaweza kuhakikisha kwa urahisi kuwa hazijapita zaidi ya siku kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu kuabudu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Unaweza kuhakikisha kwa urahisi kuwa hazijapita zaidi ya siku kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu kuabudu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Maana waweza kujua ya kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu ili kuabudu.

Tazama sura Nakili




Matendo 24:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata kesho yake Paulo akaingia kwa Yakobo pamoja nasi, na wazee wote walikuwako.


Kesho yake akitaka kujua hakika, ni kwa sababu gani ameshitakiwa na Wayahudi, akamfungua, akawaamuru wakuu wa makuhani na baraza yote wakutane. Akamleta Paulo chini, akamweka mbele yao.


Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.


Akawaita maofisa wawili, akasema, Wekeni tayari askari mia mbili kwenda Kaisaria, na askari wapanda farasi sabini, na wenye mikuki mia mbili, kabla ya saa tatu usiku.


Baada ya siku tano, Anania, Kuhani Mkuu, akateremka na baadhi ya wazee pamoja naye, na msemi mmoja, Tertulo, nao wakamweleza mtawala habari za Paulo.


Baada ya miaka mingi nilifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo