Matendo 22:4 - Swahili Revised Union Version4 nikawaudhi watu wa Njia hii hata kuwaua, nikawafunga, nikiwatia gerezani, wanaume na wanawake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Niliwatesa wafuasi wa Njia hii hadi kufa, nikiwakamata wanaume na wanawake, na kuwatupa gerezani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Niliwatesa watu wa Njia hii hadi kufa, nikiwakamata waume kwa wake na kuwatupa gerezani, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 nikawaudhi watu wa Njia hii hata kuwaua, nikawafunga, nikiwatia gerezani, wanaume na wanawake. Tazama sura |