Matendo 2:32 - Swahili Revised Union Version32 Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Mungu alimfufua huyu Isa, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Mungu alimfufua huyu Isa na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake. Tazama sura |