Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:32 - Swahili Revised Union Version

32 Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Mungu alimfufua huyu Isa, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Mungu alimfufua huyu Isa na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.

Tazama sura Nakili




Matendo 2:32
24 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi pia mnashuhudia, kwa kuwa tangu mwanzo mmekuwapo pamoja nami.


kuanza tangu ubatizo wa Yohana, hata siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, inapasa mmoja wao awe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Lakini Mungu akamfufua katika wafu;


ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambaye Mungu amemfufua katika wafu; na sisi tu mashahidi wake.


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili kuwabariki kwa kumwepusha kila mmoja wenu na maovu yake.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa nguvu nyingi, na neema nyingi ikawa juu yao wote.


Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti.


Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.


Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.


tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.


Paulo, mtume, (si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu),


aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka katika mkono wake wa kulia katika ulimwengu wa roho;


Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


na kupitia kwake mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo