Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Akauliza, “Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?” Nao wakamjibu, “La! Hata hatujasikia kwamba kuna Roho Mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Akauliza, “Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?” Nao wakamjibu, “La! Hata hatujasikia kwamba kuna Roho Mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Akauliza, “Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?” Nao wakamjibu, “La! Hata hatujasikia kwamba kuna Roho Mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 akawauliza, “Je, mlipokea Roho wa Mungu mlipoamini?” Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa kuna Roho wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 akawauliza, “Je, mlipokea Roho wa Mwenyezi Mungu mlipoamini?” Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa kuna Roho wa Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.

Tazama sura Nakili




Matendo 19:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na neno hilo alilisema kuhusu Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa.


Petro alipokuwa akisema maneno hayo Roho Mtakatifu akawashukia wote waliolisikia lile neno.


Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.


Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto.


Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara;


Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;


Basi, yeye awapaye Roho na kufanya miujiza kati yenu, je! Afanya hayo kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?


Basi Samweli alikuwa hamjui BWANA bado, na neno la BWANA lilikuwa bado halijafunuliwa kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo