Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 19:15 - Swahili Revised Union Version

15 Yule pepo mchafu akawajibu, akawaambia, Yesu namjua na Paulo namfahamu, lakini ninyi ni nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini pepo mbaya aliwajibu, “Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini nyinyi ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini pepo mbaya aliwajibu, “Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini nyinyi ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini pepo mbaya aliwajibu, “Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini nyinyi ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Siku moja pepo mchafu akawajibu, “Isa namjua na Paulo pia namjua, lakini ninyi ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini pepo mchafu akawajibu, “Isa namjua na Paulo pia namjua, lakini ninyi ni nani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Yule pepo mchafu akawajibu, akawaambia, Yesu namjua na Paulo namfahamu, lakini ninyi ni nani?

Tazama sura Nakili




Matendo 19:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

akisema, Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je! Umekuja kutuangamiza?


Akaponya wengi waliokuwa na maradhi mbalimbali, akatoa pepo wengi, wala hakuwaacha pepo kunena, kwa sababu walimjua.


Walikuwapo wana saba wa mtu mmoja Skewa, Myahudi, kuhani mkuu, waliofanya hivyo.


Na yule mtu aliyepagawa na pepo mchafu akawarukia wawili, akawaweza, akawashinda, hata wakatoka mbio katika nyumba ile wakiwa uchi na kujeruhiwa.


Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo