Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 18:16 - Swahili Revised Union Version

16 Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.

Tazama sura Nakili




Matendo 18:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Nchi ikamsaidia mwanamke; nchi ikafunua kinywa chake, ikaumeza mto ule lililoutoa lile joka katika kinywa chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo