Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 18:11 - Swahili Revised Union Version

11 Akakaa huko muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha kati yao neno la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hivyo Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, akiwafundisha Maandiko ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hivyo Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, akiwafundisha neno la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Akakaa huko muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha kati yao neno la Mungu.

Tazama sura Nakili




Matendo 18:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakakaa huko wakati mwingi, wakinena kwa ushujaa katika Bwana, aliyelishuhudia neno la neema yake, akiwajalia ishara na maajabu yatendeke kwa mikono yao.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu.


Hata Galio alipokuwa mtawala wa Akaya, Wayahudi wakamwinukia Paulo kwa nia moja, wakamleta mbele ya kiti cha hukumu,


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hata wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wagiriki.


Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo