Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 17:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi watu wengi miongoni mwao wakaamini, wakiwemo wanawake wa Kigiriki wenye cheo na wanaume.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wengi wao waliamini na pia wanawake wa Kigiriki wa tabaka la juu na wanaume pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wengi wao waliamini na pia wanawake wa Kigiriki wa tabaka la juu na wanaume pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wengi wao waliamini na pia wanawake wa Kigiriki wa tabaka la juu na wanaume pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake na wanaume Wayunani wa tabaka la juu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake na wanaume wa Kiyunani wa tabaka la juu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi watu wengi miongoni mwao wakaamini, wakiwemo wanawake wa Kigiriki wenye cheo na wanaume.

Tazama sura Nakili




Matendo 17:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.


Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake watauwa wenye cheo na wakuu wa mji, wakawataharakisha watu wawaudhi Paulo na Barnaba; wakawatoa katika mipaka yao.


Ikawa huko Ikonio wakaingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi; na kwa vile walivyonena, kundi kubwa la Wayahudi na la Wagiriki wakaamini.


wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.


Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo