Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 16:32 - Swahili Revised Union Version

32 Wakamwambia neno la Bwana, yeye na watu wote waliomo nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wakamwambia neno la Bwana Isa, yeye pamoja na wote waliokuwa nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wakamwambia neno la Bwana Isa, yeye pamoja na wote waliokuwako nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Wakamwambia neno la Bwana, yeye na watu wote waliomo nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili




Matendo 16:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.


Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.


Akawakaribisha saa ile ile ya usiku, akawaosha mapigo yao, kisha akabatizwa, yeye na watu wake wote wakati uo huo.


Nawiwa na Wagiriki na wasio Wagiriki, nawiwa na wenye hekima na wasio na hekima.


Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Mgiriki pia.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Hivyo ndivyo nasi tukiwajali kwa upendo mwingi, tuliona furaha kuwapa, si Injili ya Mungu tu, bali na roho zetu pia, kwa sababu mmekuwa wapendwa wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo