Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 15:9 - Swahili Revised Union Version

9 wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:9
24 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.


Tena itakuwa mtaigawanya kwa kura, kuwa urithi kwenu, na kwa wageni wakaao kwenu kama ugeni, watakaozaa watoto kati yenu, nao watakuwa kwenu, kama wazaliwa miongoni mwa wana wa Israeli; watakuwa na urithi pamoja nanyi kati ya makabila ya Israeli.


Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.


Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali kwa mtu aliye Myahudi ashirikiane na mtu wa taifa lingine wala kumtembelea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu yeyote mchafu wala najisi.


Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Roho akaniambia nifuatane nao, nisione tashwishi. Ndugu hawa sita nao wakaenda pamoja nami, tukaingia katika nyumba ya mtu yule;


Ikawa huko Ikonio wakaingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi; na kwa vile walivyonena, kundi kubwa la Wayahudi na la Wagiriki wakaamini.


Hata walipofika wakalikutanisha kanisa, wakawaeleza mambo yote aliyoyafanya Mungu pamoja nao, na ya kwamba amewafungulia Mataifa mlango wa imani.


ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;


Ni nini basi? Tu bora kuliko wengine? La! Hata kidogo. Kwa maana tumekwisha kuwashitaki Wayahudi na Wagiriki ya kwamba pia wamekuwa chini ya dhambi;


ndio sisi aliotuita, si watu wa Wayahudi tu, ila na watu wa Mataifa pia?


kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu, pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo kila mahali, Bwana wao na wetu.


Je! Mtu fulani ameitwa akiwa amekwisha kutahiriwa? Asijifanye kana kwamba hakutahiriwa. Mtu fulani ameitwa akiwa hajatahiriwa bado? Basi asitahiriwe.


Hakuna Myahudi wala Mgiriki. Hakuna mtumwa wala huru. Hakuna mwanamume wala mwanamke. Maana ninyi nyote mmekuwa wamoja katika Kristo Yesu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


ya kwamba Mataifa ni warithi pamoja nasi wa urithi mmoja, na wa mwili mmoja, na washiriki pamoja nasi wa ahadi yake iliyo katika Kristo Yesu kwa njia ya Injili;


Hapo hapana Mgiriki wala Myahudi, kutahiriwa wala kutotahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala muungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo