Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 14:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakateremka mpaka Atalia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakateremka mpaka Atalia.

Tazama sura Nakili




Matendo 14:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakakusanyika watu wengi, isibaki nafasi hata mlangoni; akawa akisema nao neno lake.


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Kisha Paulo na wenziwe wakang'oa nanga wakasafiri kutoka Pafo, wakafika Perge katika Pamfilia. Yohana akawaacha akarejea Yerusalemu.


kwa nguvu za ishara na maajabu, katika nguvu za Roho Mtakatifu; hata ikawa tangu Yerusalemu, na kandokando yake, mpaka Iliriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa utimilifu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo