Matendo 13:48 - Swahili Revised Union Version48 Mataifa waliposikia hayo wakafurahi, wakalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema48 Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uhai wa milele, wakawa waumini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND48 Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uhai wa milele, wakawa waumini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza48 Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uhai wa milele, wakawa waumini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu48 Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Mwenyezi Mungu; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu48 Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana Isa; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI48 Mataifa waliposikia hayo wakafurahi, wakalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. Tazama sura |