Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 13:37 - Swahili Revised Union Version

37 Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mungu akamfufua katika wafu;


ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.


ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo