Matendo 13:35 - Swahili Revised Union Version35 Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu. Tazama sura |