Matendo 12:5 - Swahili Revised Union Version5 Basi Petro akalindwa gerezani, nalo kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi kwa ajili yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini waumini wa Isa walikuwa wakimwombea kwa Mungu kwa bidii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kundi la waumini lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Basi Petro akalindwa gerezani, nalo kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi kwa ajili yake. Tazama sura |