Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 12:24 - Swahili Revised Union Version

24 Neno la Bwana likazidi na kuenea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Lakini neno la Mwenyezi Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Neno la Bwana likazidi na kuenea.

Tazama sura Nakili




Matendo 12:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wasio haki wainukapo, wanadamu hujificha; Bali waangamiapo, wenye haki huongezeka.


Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;


Basi Danieli akaenda kwa Arioko, aliyewekwa na mfalme kuwaangamiza wenye hekima wa Babeli; alikwenda akamwambia hivi, Usiwaangamize wenye hekima wa Babeli; niingize mimi mbele ya mfalme, nami nitamwonesha mfalme ile tafsiri.


Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Mkono wa Bwana ukawa pamoja nao, watu wengi wakaamini, wakamwelekea Bwana.


Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.


lakini ikiwa imetoka kwa Mungu hamwezi kuivunja; msije mkaonekana kuwa mnapigana na Mungu.


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


iliyofika kwenu, kama ilivyo katika ulimwengu wote, na kuzaa matunda na kukua, kama inavyokua kwenu pia, tangu siku mlipoisikia mkaifahamu sana neema ya Mungu katika kweli;


Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa kote kama ilivyo kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo