Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 10:40 - Swahili Revised Union Version

40 Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,

Tazama sura Nakili




Matendo 10:40
16 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda (siye Iskarioti), akamwambia, Bwana, imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu?


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.


na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu;


Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.


tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


na kupitia kwake mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo