Matendo 10:31 - Swahili Revised Union Version31 akasema, Kornelio, kuomba kwako kumesikiwa, na sadaka zako zinakumbukwa mbele za Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 akasema: ‘Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini zimekubaliwa na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 akasema: ‘Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini zimekubaliwa na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 akasema: ‘Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini zimekubaliwa na Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na misaada yako kwa maskini imekumbukwa mbele za Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na sadaka zako kwa maskini zimekumbukwa mbele za Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 akasema, Kornelio, kuomba kwako kumesikiwa, na sadaka zako zinakumbukwa mbele za Mungu. Tazama sura |