Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 10:18 - Swahili Revised Union Version

18 wakaita; wakauliza kama Simoni aitwaye Petro anakaa humo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 wakaita; wakauliza kama Simoni aitwaye Petro anakaa humo.

Tazama sura Nakili




Matendo 10:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati Petro alipokuwa akisumbuka ndani ya nafsi yake, juu ya maana ya maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakatokeza. Walikuwa kukiulizia nyumba ya Simoni, wakiwa wamesimama mbele ya lango,


Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.


Na tazama, mara hiyo watu watatu wakasimama mbele ya nyumba tuliyokuwamo, waliotumwa kwangu kutoka Kaisaria.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo