Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:34 - Swahili Revised Union Version

34 Wakanyamaza; kwa maana njiani walikuwa wakibishana wao kwa wao, ni nani aliye mkubwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliyekuwa mkubwa kati yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliyekuwa mkubwa kati yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliyekuwa mkubwa kati yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Lakini hawakumjibu, kwa sababu njiani walikuwa wakibishana kuhusu nani miongoni mwao alikuwa mkuu zaidi ya wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Lakini hawakumjibu, kwa sababu njiani walikuwa wakibishana kuhusu nani miongoni mwao alikuwa mkuu zaidi ya wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Wakanyamaza; kwa maana njiani walikuwa wakibishana wao kwa wao, ni nani aliye mkubwa.

Tazama sura Nakili




Marko 9:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Muwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa amani ninyi kwa ninyi.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Wala si kama wajifanyao mabwana wa wale walio chini ya utunzaji wao, bali iweni mifano kwa lile kundi.


Nililiandikia kanisa neno, lakini Diotrefe, apendaye kuwa wa kwanza kati yao, hatukubali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo