Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:29 - Swahili Revised Union Version

29 Akamwambia, Kwa sababu ya neno hilo, nenda zako, pepo amemtoka binti yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Ndipo Isa akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Ndipo Isa akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Akamwambia, Kwa sababu ya neno hilo, nenda zako, pepo amemtoka binti yako.

Tazama sura Nakili




Marko 7:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.


Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Naye akajibu, akamwambia, Naam, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya watoto.


Akaenda zake nyumbani kwake, akamkuta yule kijana amelazwa kitandani, na yule pepo amekwisha kumtoka.


atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo