Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:23 - Swahili Revised Union Version

23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.

Tazama sura Nakili




Marko 7:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.


wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.


Akaondoka huko, akaenda zake hata mipaka ya Tiro na Sidoni. Akaingia katika nyumba, akataka isijulikane na mtu; lakini hakuweza kusitirika.


Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.


Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.


Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutawaliwa, na kuyatukana matukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo