Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:20 - Swahili Revised Union Version

20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

Tazama sura Nakili




Marko 7:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.


Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, sababu wana uwezo mikononi mwao.


Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi.


Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [


Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,


Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.


Bali yeye, ambaye uzazi wake haukuhesabiwa kuwa umetoka kwa hao, alitwaa sehemu ya kumi kwa Abrahamu, akambariki yeye aliye na ile ahadi.


Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfululizo wa maumbile, nao huwashwa moto na Jehanamu.


Vita vyatoka wapi, na mapigano yaliyoko kati yenu yatoka wapi? Si humu, katika tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo