Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:8 - Swahili Revised Union Version

8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.

Tazama sura Nakili




Marko 5:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nakutambua u nani, Mtakatifu wa Mungu. Yesu akamkemea, akisema, Fumba kinywa, umtoke.


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.


Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo