Marko 5:38 - Swahili Revised Union Version38 Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo makuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Walipofika nyumbani mwa yule kiongozi wa sinagogi, Isa akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Walipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi, Isa akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo makuu. Tazama sura |