Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:38 - Swahili Revised Union Version

38 Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo makuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Walipofika nyumbani mwa yule kiongozi wa sinagogi, Isa akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Walipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi, Isa akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo makuu.

Tazama sura Nakili




Marko 5:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.


Akaja mtu mmoja katika wakuu wa sinagogi, jina lake Yairo; hata alipomwona, akaanguka miguuni pake,


Alipokwisha kuingia, akawaambia, Mbona mnafanya ghasia na kulia? Kijana hakufa, bali amelala tu.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu ghorofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo