Marko 3:35 - Swahili Revised Union Version35 Kwa maana mtu yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Mungu, huyo ndiye kaka yangu, na dada yangu, na mama yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Mtu yeyote anayetenda mapenzi ya Mungu, huyo ndiye kaka yangu, na dada yangu, na mama yangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Mtu yeyote anayetenda mapenzi ya Mungu, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Kwa maana mtu yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Mungu, huyo ndiye kaka yangu, na dada yangu, na mama yangu. Tazama sura |