Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 2:19 - Swahili Revised Union Version

19 Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kufunga maadamu bwana arusi yupo pamoja nao? Muda wote walipo na bwana arusi pamoja nao hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Isa akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Isa akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Yesu akawaambia, Walioalikwa harusini wawezaje kufunga maadamu bwana harusi yupo pamoja nao? Muda wote walipo na bwana harusi pamoja nao hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili




Marko 2:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akakusanya watu wote wa mahali pale, akafanya karamu.


Anapelekwa kwa mfalme Na mavazi yaliyofumwa kwa uzuri. Wanawali wenzake wanaomfuata, Pia watapelekwa kwako.


Wako malkia sitini, na masuria themanini, Na wanawali wasiohesabika;


Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.


Nao wanafunzi wake Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga; basi walikuja, wakamwambia, Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, bali wanafunzi wako hawafungi?


Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi, ndipo watakapofunga siku ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo