Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 2:10 - Swahili Revised Union Version

10 Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Lakini ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi”: Isa akamwambia yule aliyepooza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Lakini ili mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Isa akamwambia yule aliyepooza,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),

Tazama sura Nakili




Marko 2:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?


Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.


Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?


Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kulia, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo