Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 16:3 - Swahili Revised Union Version

3 wakasemezana wao kwa wao, Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka ingilio la kaburi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 wakasemezana wao kwa wao, Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi?

Tazama sura Nakili




Marko 16:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza;


Hata walipotazama, waliona ya kuwa lile jiwe limekwisha kuvingirishwa; nalo lilikuwa kubwa mno.


Hata siku ya kwanza ya juma Mariamu Magdalene alikwenda kaburini alfajiri, kukiwa bado giza; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo