Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:31 - Swahili Revised Union Version

31 Kadhalika na wakuu wa makuhani wakamdhihaki wao kwa wao, pamoja na waandishi, wakisema, Aliponya wengine; hawezi kujiponya mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Nao makuhani wakuu pamoja na waalimu wa sheria walimdhihaki wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Nao makuhani wakuu pamoja na waalimu wa sheria walimdhihaki wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Nao makuhani wakuu pamoja na waalimu wa sheria walimdhihaki wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa Torati wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa Torati wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Kadhalika na wakuu wa makuhani wakamdhihaki wao kwa wao, pamoja na waandishi, wakisema, Aliponya wengine; hawezi kujiponya mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Marko 15:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo