Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:20 - Swahili Revised Union Version

20 Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi la rangi ya zambarau, wakamvika mavazi yake mwenyewe; wakampeleka nje ili wamsulubishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi la rangi ya zambarau, wakamvika mavazi yake mwenyewe; wakampeleka nje ili wamsulubishe.

Tazama sura Nakili




Marko 15:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokwisha kumdhihaki, wakalivua lile vazi, wakamvika mavazi yake, wakamchukua kumsulubisha.


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.


Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashambani, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.


Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo