Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:71 - Swahili Revised Union Version

71 Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

71 Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

71 Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

71 Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

71 Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

71 Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

71 Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.

Tazama sura Nakili




Marko 14:71
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zile BWANA akaanza kupunguza Israeli. Hazaeli akawapiga kote mipakani mwa Israeli;


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Akakana tena. Kitambo kidogo tena wale waliosimama pale wakamwambia Petro, Hakika u mmoja wao, kwa sababu u Mgalilaya wewe.


Na mara jogoo akawika mara ya pili. Petro akalikumbuka lile neno aliloambiwa na Yesu, Kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu. Na alipolifikiri, akalia.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo